Vodacom Miss Tanzania 2010 Geneviv Mpangala (katikati) akiwa na washindi wenzake msindi wa pili, Glory na Consolata, baada ya kutangazwa washindi katika kinyang’anyiro hicho kilichofanyika katika uku bi wa Mlimani City Mwenge Jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo
Vodacoma Miss Tanzania 2010, Geneviv Mpangala, akipita na kupunga mkono kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaaam.
Warembo waliofanikiwa kuingia nafasi tano bora ikiwa ni fainali ya kumpata Vodacom Miss Tanzania 2010, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa washindi…
Warembo waliofanikiwa kuingia nafasi kumi bora wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa…
"Oyaa nyanyuka twende wewe jikaze mtoto wa kike unachekwa"Mrembo akianguka jukwaani wakati akipita na wenzake na vazi la ufukweni Duh aibu we acha tuuu.
Warembo wakipita jukwaani na vazi la Ufukweni….
Msanii Lina na mwenzake wote kutoka THT, wakishambulia jukwaa…
Warembo wakipita jukwaani na vazi la Ubunifu……
Mapaparazi nao hawakuwa nyuma katika kuhakikisha wananasa picha za kila tukio, lakini eti hakuna hata mmoja kati ya hawa aliyepata picha ya mrembo aliyeteleza na kuanguka jukwaani……
No comments:
Post a Comment