Habari za Punde

*BONDIA SAID MBELWA AMGALAGAZA SAID MKONDE KWA K,O

Bondia Omari Zungu akichapana na Haruna Sinondo, wakati wa pambano lao lililochezwa Chanika, mwishoni mwa wiki iliyopita Sinondo alishinda kwa K,O raundi ya pili.
Bondia Said Mkonde (kushoto) akiliana timing na Said Mbelwa wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki iliyopita Mbelwa alishinda kwa K,o raundi ya pili.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.