Habari za Punde

*TASWIRA YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE MKOA WA PEMBA JANA

Vijana wa Halaiki wapato 500, wakiwa kwenye shambra shambra za sherehe za kuwasha Mwenge wa Uhuru zilizofanyika jana Chokocho Pemba.
 Rais wa Zanzibar, Dkt. Shein, akizindua mnara wa kumbukumbu chokocho, jana wakati wa sherehe za kuwasha Mwenge wa Uhuru.
 Sehemu ya vijana wa Halaiki kati ya 500.
 Wakimbiza mwenge 2013, wakiwa katika gwaride......

 Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria katika uzinduzi wa mwenge wa uhuru
Mwalimu wa halaiki akimsaidia kijana wake kumfunga kiatu. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.