Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo
cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia Kaaya akiwa amewabeba watoto watatu mapacha
Catherine, Caroline na Cathrine ambao walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC
Jjiini Arusha.
Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole
Nguyaine (kushoto), mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa Hospitali hiyo. (Picha kwahisani ya
AICC).
******************************
Mama huyo alijifungua kwa njia ya oparesheni akiwa na afya njema.
No comments:
Post a Comment