Mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam, kuanzia jana na leo zimesababisha baadhi ya maeneo na barabara za jijini kujaa maji kama inavyoonekana barabara hii ya Kimataifa 'International Road' ikiwa imejaa maji na kusababisha msongamano mkubwa wa magari.
Habari : Bodi ya Ithibati Yawafungia Watangazaji wa Mjini Fm kwa Ukiukaji
wa Maadili ya Habari
-
Ukiukwaji wa Sheria na Maadili ya taaluma ya Habari uliofanywa na
watangazaji wa kituo cha redio cha Mjini Fm.
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media ...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment