Dr. Hawa Senkondo
akiongoza jahazi la kuvuta kamba la Uchukuzi SC kwa wanawake, wakiwa
katika mazoezi na timu ya wanaume ya Uchukuzi SC.
Kocha Abuno Issa (kustoto)
akitoa maelekezo kwa timu ya wanawake ya Uchukuzi SC.
Kocha Abuno Issa (kulia)
akitoa maelekezo kwa timu ya wanaume ya Uchukuzi SC.
Kocha Abuno Issa (kulia)
akielekeza timu ya wanawake ya Uchukuzi SC jinsi ya kuvuta kamba, wakati
kushoto haonekani vizuri katika picha ni Nagalali Mollel.
Timu ya kuvuta kamba ya Uchukuzi SC ikiwa katika
mazoezi.
Nicas Luanda akiongoza
timu ya wanaume ya Uchukuzi SC kuvuta kamba katika mazoezi.
Nicas Luanda akiongoza
timu ya wanaume ya Uchukuzi SC kuvuta kamba katika mazoezi.
Timu ya wanawake ya Uchukuzi SC wakishangilia baada ya
kuwavuta wanaume katika mazoezi.
Timu ya wanaume wa Uchukuzi SC wakiwa wamekaa chini
baada ya kuvutwa na timu ya wanwake.
No comments:
Post a Comment