Wakazi wa Mvuti nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, wakiwa safarini katika usafiri wa Pikipiki ya magurudumu matatu (Bajaji) pamoja na mizigo wakielekea Mbagala Rangi tatu, kama walivyokutwa na mpiga picha maeneo ya Mbagala Mbande jijini Dar es Salaam, jana.
KURA ZA MAONI ZISITUGAWE - SAMINA
-
Wanawake wilayani Ubungo, wametakiwa kuungana mara baada ya kumalizika
zoezi la uchaguzi wa ndani wa kura za maoni za udiwani viti maalum.
Wito huo umetole...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment