Mabondia wa kike Mwajuma Ndala Ndefu (kushoto) akipokea konde zito kutoka kwa Asha Ngedele, wakati wa pambano lao la utangulizi la Raundi 4, lililomalizika hivi punde. Katika pambano hilo, Asha Ngedele ameshinda kwa Pointi.
JWTZ LIMETOA MAGARI KUMI RUFIJI,K URAHISISHA USAFIRI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji April 19
Jeshi la Wananchi wa Tanzania limetoa magari kumi kwa ajili ya kusaidia
kusafirisha vyakula kwenda kwenye makam...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment