Menu

Tuesday, December 15, 2009

KIZIMKAZI ZANZIBAR KUCHIZISHWA NA TAMASHA LA MUZIKI


Mratibu wa Tamasha la muziki ‘Cultural Music Festival’, Rachel Dove, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Tamasha hilo linalotarajia kufanyika Kizimkazi mjini Zanzibar kuanzia Desemba 29-31 mwaka huu. Tamasha hilo litawajumuisha wasanii wanaotengeneza Sanaa kwa kutumia Takataka. Kulia ni mmoja kati ya wasanii hao, Kani kaze. Picha na (SPM)

No comments:

Post a Comment