Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isidore Shirima (kulia) akipokea sehemu ya msaada wa baiskeli 10 mipira 20 na vyerehani 10, kutoka kwa Mwakilishi wa Balozi wa China nchini, Fu Jijun, wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika jana kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Msaada huo uliotolewa kwa ajili ya kuboresha ushirikiano kati ya Tanzania na China, utapelekwa katika wilaya za Longido na Arumeru na maeneo ambayo inapita barabara ya Arusha –Namanga. Picha na Eliya Mbonea, Arusha
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment