Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya KCB, Mhe Janet Mbene akikabidhi sehemu ya msaada wa vyakula na vitu mbalimbali ikiwa ni zawadi ya sikukuu ya Pasaka kwa watoto yatima wa kituo cha Mbagala Yatima Group Trust Fund kituoni hapo, Mbagala, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa KCB, Christina Manyenye, Mwenyekiti wa kituo hicho, Winfrida Lubanza na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Joram Kiarie.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment