Habari za Punde

*NANI KASEMA WANAWAKE HAWAWEZI? JAMANI TUWACHAGUE MSIMU HUU WA UCHAGUZI


Siku hizi imekuwa ni kawaida sana kumkuta mwanamke akifanya kazi ambazo awali zikizoeleka kufanywa na wanaume, kama kubeba zege, kufagia barabara, ujenzi, fundi magari na nyinginezo, siku hizi wanadada hata masister du hawabagui kazi ili mradi tu kieleweke. Pichani ni Mwanadada ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akiwa juu ya nyumba akipaka rangi katika nguzo za nyumba hiyo iliyopo pembezoni mwa barabara ya Samnujoma, jijini Dar es Salaam leo mchana.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.