Siku hizi imekuwa ni kawaida sana kumkuta mwanamke akifanya kazi ambazo awali zikizoeleka kufanywa na wanaume, kama kubeba zege, kufagia barabara, ujenzi, fundi magari na nyinginezo, siku hizi wanadada hata masister du hawabagui kazi ili mradi tu kieleweke. Pichani ni Mwanadada ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akiwa juu ya nyumba akipaka rangi katika nguzo za nyumba hiyo iliyopo pembezoni mwa barabara ya Samnujoma, jijini Dar es Salaam leo mchana.
Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London
-
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa
kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la
Hisa l...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment