Siku hizi imekuwa ni kawaida sana kumkuta mwanamke akifanya kazi ambazo awali zikizoeleka kufanywa na wanaume, kama kubeba zege, kufagia barabara, ujenzi, fundi magari na nyinginezo, siku hizi wanadada hata masister du hawabagui kazi ili mradi tu kieleweke. Pichani ni Mwanadada ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akiwa juu ya nyumba akipaka rangi katika nguzo za nyumba hiyo iliyopo pembezoni mwa barabara ya Samnujoma, jijini Dar es Salaam leo mchana.
WAWEKEZAJI WA SHULE BINAFSI TUSISAMBAZE TAARIFA ZA TAHARUKI, TUJIKITE
KUBORESHA MAZINGIRA YA KUTOA ELIMU BORA.
-
NA DIANA BYERA DEUS-KARAGWE.
Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Karagwe, Mkoani Kagera, Wandera Rwakatare,
ametoa wito kwa wawekezaji wa shule binafsi kupun...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment