Kaimu Mwenyekiti wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), Dk. Elifraha Mtalo, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa akitoa tamko la Taasisi hiyo ya kutounga mkono tamko lililotolewa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), kuhusu kuendesha mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, Taasisi hiyo imefikia maamuzi hayo kwa kile ilichodai haikushirikishwa katika kutoa maamuzi kabla ya kutoa tamko hilo. Kushoto ni Kaimu Katibu wa Taasisi hiyo, Kulu Maswanya.
TRA DODOMA YATOA ELIMU YA KODI KWA MJASIRIAMALI IDRISA WA BAHI KUFUATIA
MALALAMIKO YA KIKODI
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma tarehe 15 ilifanya ziara ya
kikazi kumfikia mjasiriamali Idrisa Aclay Chisigwa wa Wilaya ya Bahi, kwa
lengo...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment