Menu

Monday, March 29, 2010

*ZIARA YA MAMA SALMA KIKWETE WILAYANI BUNDA














Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete, akiwasalimia mamia ya wananchi wa kijiji cha Nyamuswa, Wilayani Bunda mkoani Mara, wakati akielekea mjini Bunda kukagua shughuli mbalimbali za akinamama wajasiriamali wilayani humo juzi.



Mama Salma Kikwete akiangalia baadhi ya kazi za wanawake wajasiriamali wa mjini Bunda. Picha Zote na John Lukuwi-MAELEZO

No comments:

Post a Comment