Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Nicholas Mgaya, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo akitoa tamko la Shirikisho hilo kuhusu kauli ya Rais Kikwetwe, akidai kuwa hakumtendea haki katika hotuba yake aliyoisoma kwa Taifa zima jana na wazee wa Dar es Salaam, Mgaya aliwataka wafanyakazi wote kuendelea na kazi na kutoa tamko la kusitisha mgomo uliokuwa umepangwa kufanyika nchini kote kesho na badala yake kusubiri yale yatakayoafikiwa katika kikao cha Mei 8 mwaka huu baina yao na Serikali.
NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI BAISKELI KWA WALEMAVU KAVUU
-
Na Munir Shemweta, MLELE
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la
Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe, ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment