Katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, Seith Kamuhanda, akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Dar es Salaam leo mchana, wakati alipokutana na wahariri hao kwa lengo la kufahamiana na kuboresha ubora wa habari za vyombo hivyo.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment