Mratibu wa shindano la Miss Kurasini, Yason Mashaka, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu shindano hilo linalotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Equator Grill uliopo Mtoni kwa Azizi Ali jijini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zulu Fashion Zuwena Mustapher (kulia) ni Mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo, Sam Mshana
Habari : Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula
-
Na Mwandishi Wetu,KAGERA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano
kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo ch...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment