Mratibu wa shindano la Miss Kurasini, Yason Mashaka, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu shindano hilo linalotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Equator Grill uliopo Mtoni kwa Azizi Ali jijini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zulu Fashion Zuwena Mustapher (kulia) ni Mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo, Sam Mshana
DET YAFANYA MKUTANO WA BIASHARA YA UTALII DAR ES salaam
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
IDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila
mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, u...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment