Mratibu wa shindano la Miss Kurasini, Yason Mashaka, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu shindano hilo linalotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Equator Grill uliopo Mtoni kwa Azizi Ali jijini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zulu Fashion Zuwena Mustapher (kulia) ni Mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo, Sam Mshana
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari a...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment