Menu

Friday, June 18, 2010

*KESI YA CHENGE YAANZA KUTOLEWA USHAHIDI

Aliyekuwa Waziri wa Miundo Mbinu, Andrew Chenge, akiwa kwenye Mahakama ya mwanzo Kinondoni jijini Dar es Salaam leo, wakati akisubiri shahidi wa tatu wa upande wa serikali kutoka ushahidi katika kesi hiyo.

No comments:

Post a Comment