Meneja Mkuu wa Uhusiano na mawasiliano kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers, Teddy Mapunda, akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 35, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo tanzania, (TASWA) Boniface Wambura wakati wa hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF), leo mchana. Kulia ni mweka hazina wa TASWA, Tom Chilala na kushoto ni Katibu mkuu msaidizi wa TASWA, Amir Muhando , Serengeti imeamua kudhamini tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka anayechaguliwa na Taswa ambayo hutolewa kila mwaka na chama hicho ikiwa ni sehemu ya Kampuni hiyo kushiriki na kuchangia katika suala zima la michezo nchini.
EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0
-
BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard
Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika
mchezo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment