Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Afrika ya Kusini nchini, Carol Rath, akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo wakati wa maadhimisho ya Siku Kimataifa ya Nelson Mandela iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee, ambapo baadhi ya waalikwa walichangia mada iliyotolewa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Profesa Chris Maina. Kushoto kwake ni Profesa huyo, (katikati) ni Mwakilishi wa UNFPA nchini, Dk Julitta Onabanjo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Begum Taj. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment