Washiriki wa Onyesho la Mavazi, wakipita jukwaani wakati wa onyesho hilo la ‘Kempinsk Showcase’ lililoandaliwa maalum kwa ajili ya kuinua vipaji vya wabunifu wa mavazi Chipukizi yaliyofanyika kwenye Hoteli ya Kempinsk jijini Dar es Salaam jana. Wabunifu walioshiriki onyesho hilo ni Caroline, aliyetumia mavazi ya Vitenge na Vitambaa vyeusi, pamoja na Dyana magese, aliyetokea Mkoani Morogoro, aliyeonyesha zaidi mavazi ya asili pamoja na nguo za Kichina.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 16, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 16, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment