Rais wa Klabu ya African Lyon, Nabil Nasor, akizungumza na waandishi wa habari wakatika akitangaza utaratibu wa kuingia Uwanja wa Taifa kesho kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Atletico Paranaense ya Brazir na Simba, ambapo alisema kuwa milango itakayotumika ni mitatu pekee huku geti kubwa likiachwa na kutumiwa na wageni rasmi wa VIP. Aidha alisema kuwa baada wa watu kujaa uwanjani humo milango yote itafungwa na hivyo aliwataka mashabiki wa soka kujitahidi kuwahi ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.
FAIDHA KASSIM AIWEKA TANZANIA RAMANI YA DUNIA MISS INTERCONTINENTAL 2025
-
Mwakilishi wa Tanzania, *Faidha Kassim*, ameandika historia baada ya
kuibuka mshindi wa tatu (2nd Runner-up) katika fainali za mashindano ya
urembo y...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment