Rais wa Klabu ya African Lyon, Nabil Nasor, akizungumza na waandishi wa habari wakatika akitangaza utaratibu wa kuingia Uwanja wa Taifa kesho kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Atletico Paranaense ya Brazir na Simba, ambapo alisema kuwa milango itakayotumika ni mitatu pekee huku geti kubwa likiachwa na kutumiwa na wageni rasmi wa VIP. Aidha alisema kuwa baada wa watu kujaa uwanjani humo milango yote itafungwa na hivyo aliwataka mashabiki wa soka kujitahidi kuwahi ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muun...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment