Rais wa Klabu ya African Lyon, Nabil Nasor, akizungumza na waandishi wa habari wakatika akitangaza utaratibu wa kuingia Uwanja wa Taifa kesho kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Atletico Paranaense ya Brazir na Simba, ambapo alisema kuwa milango itakayotumika ni mitatu pekee huku geti kubwa likiachwa na kutumiwa na wageni rasmi wa VIP. Aidha alisema kuwa baada wa watu kujaa uwanjani humo milango yote itafungwa na hivyo aliwataka mashabiki wa soka kujitahidi kuwahi ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment