Mshambuliaji wa Arsenal, Robin van Persie (kulia) akifunga gori la nne kwa mpira wa kichwa dhidi ya Newcastle United, mchezo uliomalizika hivi punde huku timu hizo zikitoka sare kwa kufungana mabao 4-4, ambapo Newcastle hadi mapumziko walikuwa wakiongoza kwa mabao 4-0 na hadi dakika ya 83 , Newcastle walikuwa nyuma kwa mabao 3-4, baada ya bao la tatu kupatikana kwa njia ya penati na dakika mbili baadaye Newcastle wameweza kusawazisha bao la nne baada ya shuti kali lililopigwa mita 30 na hivyo hadi mwisho wa mchezo timu hizo zimetoka sare ya 4-4.
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA MIUNDOMBINU RAFIKI KWA WATOTO WENYE MAHITAJI
MAALUM
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua
madhubuti kuhakikisha miundombinu ya elimu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment