Wabunge wakiwa kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo wakati wa kikao cha bunge kilichofunguliwa leo. Mbunge wa Jimbo la Kawe, kupitia tiketi ya CHADEMA, Halima Mdee, akichangia katika kikao cha Bunge mjini Dodoma leo.
"MZEE VIPI UMEME WANANCHI WANATESEKA SANA MZEE" Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kulia), akizungumza na Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Charles Kitwanga.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment