Mweka Hazina wa Kikundi cha KT, Hassan Hasanoo ( kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa magunia ya unga na maboksi ya mafuta, Mstahiki Meya wa Ilala, ambaye pia ni Diwani wa Gongolamboto, Jerry Slaa, kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa Gongolamboto walioathirika na mabomu. Kikundi hicho kimekabidhi jumla ya magunia 250 ya unga na mafuta Katoni 15, vyote vikiwa na thamani ya Sh. milioni 8.25.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 23, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Ma...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment