"Unajua mchezo wa soka ni akili zaidi na si miguvu japo kwa sasa mimi akili inakuwa inataka lakini mwili hautaki, lakini bado najiamini kuwa ninauwezo wa kufanya vizuri niwapo uwanjani tena hata kuwazidi baadhi ya wachezaji wetu ambao nimekuwa nikiwaona mara kadhaa wanarukaruka tu uwanjani" alisema Lundenga
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment