"Mpigie kura msanii umpendaye" Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utambulisho wa wanamuziki wateule wa Tuzo za Muziki Tanzani 2011 ‘Kilimanjaro Music Awards’. Utambulisho wa wateuile hao ulifanyika leo mchana kwenye Ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mratibu wa Tuzo za Kilimanjaro (BASATA), Angelo Luhala na. Mkaguzi wa mahesabu wa kampuni ya Innovex, Lloyd Zhungu.
SERIKALI: KILA HALMASHAURI KUWA NA MSITU WA ASILI KUTUNZA MAZINGIRA
-
Na Mwandishi Wetu,
TANGA, 24 OKTOBA, 2024
Serikali imesema inaandaa mpango wa kwa kila Halmashauri nchini kuwa na
misitu ya asili ili kuimarisha mkakati w...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment