Hapa daladala hili likipakia abiria katikati ya barabara ya Shule ya Uhuru tena mahala ambapo hakuna kituo bila wasiwasi na kusababisha msongamano wa magari yaliyokuwa nyuma yake huku akipigiwa honi za kumtaka awapishe wenzake jambo ambalo halikufanikiwa kwani aliondoka mahala hapa baada ya kumaliza kupakia abiria wote unaowaona hapa fikilia hiyo foleni ilikuwaje.
WATUMISHI WAPYA TASAC WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania- TASAC Bw. Mohamed
Salum leo tarehe 16 Januari, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo kwa watumisi
wapy...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment