Hapa daladala hili likipakia abiria katikati ya barabara ya Shule ya Uhuru tena mahala ambapo hakuna kituo bila wasiwasi na kusababisha msongamano wa magari yaliyokuwa nyuma yake huku akipigiwa honi za kumtaka awapishe wenzake jambo ambalo halikufanikiwa kwani aliondoka mahala hapa baada ya kumaliza kupakia abiria wote unaowaona hapa fikilia hiyo foleni ilikuwaje.
DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI SASA KUWEKA NGUVU KATIKA NG’OMBE WA MAZIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitan...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment