Hapa daladala hili likipakia abiria katikati ya barabara ya Shule ya Uhuru tena mahala ambapo hakuna kituo bila wasiwasi na kusababisha msongamano wa magari yaliyokuwa nyuma yake huku akipigiwa honi za kumtaka awapishe wenzake jambo ambalo halikufanikiwa kwani aliondoka mahala hapa baada ya kumaliza kupakia abiria wote unaowaona hapa fikilia hiyo foleni ilikuwaje.
TEN/MET YACHANGIA MIL 53.2 KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU SONGWE
-
*Mgeni rasmi Kaimu Katibu Mkuu – Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Dkt. Ephreim Simbeye akizungumza wakati akifunga rasmi Maadhimisho ya Juma
la Eli...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment