Mara kadhaa madereva wa magari makubwa yanayosafiri usiku na mizigo ama mafuta, wamekuwa wakikumbwa na tatizo la kuibiwa mizigo njiani usiku kutokana na wezi wanaokuwa pembezoni mwa barabara katika baadhi ya maeneo nyakati wa usiku na hasa maeneo ya milima na kona ambapo hupanda juu ya gari wakati likiwa katika mwendo na kushusha mizigo. Kutokana na madereva hao kusumbuliwa na wezi wa aina hiyo hivi sasa wamebuni mbinu kama hii ya kuweka miba nyuma ya gari ili kuwafanya wezi kuogopa miba hiyo pindi wanapotaka kupanda gari hilo na kuiba, kama linavyoonekana gari hili pichani.
NMB Bank Accelerates Agenda 2030 and Tanzania Development Vision 2050
Through Landmark TZS 224 Billion Geita Gold Mine Financing.
-
NMB Bank Plc has advanced its Medium-Term Plan 2026–2030, (Agenda 2030),
by committing approximately USD 100 million (TZS 224 billion) to a landmark
USD...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment