Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi (wa pili kushoto) akipewa shukrani na Ofisa Uhusiano wa Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA), Tungi Mwanjala, baada ya TBL kukabidhi msaada wa shilingi milioni 2.5 zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi za UMIVITA. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar ers Salaam leo. Kutoka kulia ni, Mkurugenzi wa chama cha kuhudumia Viziwi Tanzania, Matilda Ngonyani, Katibu Mtendaji wa UMIVITA, Rahim Othman na Mwakilishi wa Tanzanear, Judith Roberts.
FANTA® Introduces New Berry Flavour in Tanzania
-
A new FANTA® flavour is adding a burst of deliciousness to the brand’s
portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry.
This bolder, fruitier tasti...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment