Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi (wa pili kushoto) akipewa shukrani na Ofisa Uhusiano wa Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA), Tungi Mwanjala, baada ya TBL kukabidhi msaada wa shilingi milioni 2.5 zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi za UMIVITA. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar ers Salaam leo. Kutoka kulia ni, Mkurugenzi wa chama cha kuhudumia Viziwi Tanzania, Matilda Ngonyani, Katibu Mtendaji wa UMIVITA, Rahim Othman na Mwakilishi wa Tanzanear, Judith Roberts.
WAZIRI WA ULINZI AIPONGEZA JKT NA JWTZ KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA NCHINI
-
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho,
amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi
la Wananc...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment