Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi (wa pili kushoto) akipewa shukrani na Ofisa Uhusiano wa Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA), Tungi Mwanjala, baada ya TBL kukabidhi msaada wa shilingi milioni 2.5 zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi za UMIVITA. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar ers Salaam leo. Kutoka kulia ni, Mkurugenzi wa chama cha kuhudumia Viziwi Tanzania, Matilda Ngonyani, Katibu Mtendaji wa UMIVITA, Rahim Othman na Mwakilishi wa Tanzanear, Judith Roberts.
Kamati ya Bunge Yapitisha Bajeti ya Elimu 2026/2027, Yalenga Kuimarisha
Ujuzi na Kukamilisha Miradi kwa Wakati.
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepitisha randama
ya mpango na makadirio ya bajeti ya matumizi ya kawaida pamoja na mpango wa
m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment