Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi (wa pili kushoto) akipewa shukrani na Ofisa Uhusiano wa Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA), Tungi Mwanjala, baada ya TBL kukabidhi msaada wa shilingi milioni 2.5 zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi za UMIVITA. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar ers Salaam leo. Kutoka kulia ni, Mkurugenzi wa chama cha kuhudumia Viziwi Tanzania, Matilda Ngonyani, Katibu Mtendaji wa UMIVITA, Rahim Othman na Mwakilishi wa Tanzanear, Judith Roberts.
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment