Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizindua Wodi ya kulipia ‘Private ward’ katika hospitali teule ya wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wakati akiwa katika ziara ya mkoa huo jana. Kushoto ni Askofu wa Jimbo la Rulenge, Severene Niwemugizi. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Kutoka Simu Janja Mpaka Luninga: Umuhimu wa Usalama wa Taarifa Zako kwa
Kila Kifaa
-
Nani alishawahi kufikiria kwamba itafika siku ambayo vile unavyolinda simu
yako dhidi ya uhalifu wa mtandaoni ndivyo itakavyokuja kuwa sawa na kwa
luninga...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment