Habari njema kwa wasanii wote wa Muziki nchini iliyo katika maadhi tofauti yaani ya aina zote, Tanzania Online Internet Radio inawapa nafasi ya kutangaza nyimbo zenu popote Duniani bure kabisa kupitia Kiyuo namba moja kilicho online pekee hakuna Fm wala Frequency ni wakati wenu kutangaza Muziki wa kizazi kipya Dunia nzima karibuni sana nitumie wimbo kupitia Mbeyayetu@yahoo.com karibuni sana. Tumezingatia umuhimu wenu na kazi zenu Sikiliza Radio Live kupitia tovuti yetu juu ya tangazo la Vodacom. Link ya Radio:- www.mbeyayetu.blogspot.com PresentaDj Sir Frenje (Fredy Njeje)
SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA
BIDHAA MBALIMBALI
-
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali
yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi
kwa vitend...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment