Habari njema kwa wasanii wote wa Muziki nchini iliyo katika maadhi tofauti yaani ya aina zote, Tanzania Online Internet Radio inawapa nafasi ya kutangaza nyimbo zenu popote Duniani bure kabisa kupitia Kiyuo namba moja kilicho online pekee hakuna Fm wala Frequency ni wakati wenu kutangaza Muziki wa kizazi kipya Dunia nzima karibuni sana nitumie wimbo kupitia Mbeyayetu@yahoo.com karibuni sana. Tumezingatia umuhimu wenu na kazi zenu Sikiliza Radio Live kupitia tovuti yetu juu ya tangazo la Vodacom. Link ya Radio:- www.mbeyayetu.blogspot.com PresentaDj Sir Frenje (Fredy Njeje)
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment