Habari za Punde

*MVUA YATESA WAKAZI WA DAR LEO MCHANA

Wakazi wa jijini Dar es Salaam, wakipishana kwa tabu katika kibaraza cha moja ya duka lililopo Posta Mpya leo mchana kutokana na maeneo mengi ya jijini kujaa maji na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa jiji. Wakazi wengine hawa wakipata tabu kupishana katika eneo hili la Posta mpya.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.