Katibu Mtendaji wa BASATA, Materego, akizungumza wakati wa jukwaa hilo na kutoa wito kwa wasanii kushiriki katika kujikinga na VVU/UKIMWI, wakati wa jukwaa hilo la kila Jumatatu linaloandaliwa kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz).Katikati ni Taji Liundi na Ruyembe.
MADINI YA EMERALD YAIBUA MVUTO MPYA WA UWEKEZAJI MKOANI RUKWA
-
Rukwa
Mkoa wa Rukwa umeendelea kujikita kuwa kitovu kipya cha uchimbaji wa madini
ya emerald nchini, huku Serikali na wadau wa sekta hiyo wakihimiza vija...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment