Katibu Mtendaji wa BASATA, Materego, akizungumza wakati wa jukwaa hilo na kutoa wito kwa wasanii kushiriki katika kujikinga na VVU/UKIMWI, wakati wa jukwaa hilo la kila Jumatatu linaloandaliwa kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz).Katikati ni Taji Liundi na Ruyembe.
RUWASA GEITA DC YAFANYA MKUTANO WA NUSU MWAKA NA CBWSO
-
Jumla ya shilingi milioni 40 hukusanywa Kila mwezi kutoka kwa jumuiya za
watoa huduma za maji ngazi ya jamii (CBWSO) katika wilaya ya Geita.
Hayo yamesem...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment