Katibu Mtendaji wa BASATA, Materego, akizungumza wakati wa jukwaa hilo na kutoa wito kwa wasanii kushiriki katika kujikinga na VVU/UKIMWI, wakati wa jukwaa hilo la kila Jumatatu linaloandaliwa kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz).Katikati ni Taji Liundi na Ruyembe.
RAIS MSTAAFU KIKWETE :JUKWAA LA UONGOZI AFRIKA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA
MAZUNGUMZO YA UWAZI, KUJENGA FURSA
-
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
amesema tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uongozi la A...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment