Katibu Mtendaji wa BASATA, Materego, akizungumza wakati wa jukwaa hilo na kutoa wito kwa wasanii kushiriki katika kujikinga na VVU/UKIMWI, wakati wa jukwaa hilo la kila Jumatatu linaloandaliwa kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz).Katikati ni Taji Liundi na Ruyembe.
UNDP Yazindua Awamu ya Tatu ya Ufadhili kwa Wanawake Katika Uhandisi wa
Nishati
-
AWAMU ya tatu ya programu ya ufadhili wa masomo ngazi ya shahada ya uzamili
katika uhandisi wa nishati imezinduliwa huku ikitarajiwa kutoa ufadhili kwa
wan...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment