Katibu Mtendaji wa BASATA, Materego, akizungumza wakati wa jukwaa hilo na kutoa wito kwa wasanii kushiriki katika kujikinga na VVU/UKIMWI, wakati wa jukwaa hilo la kila Jumatatu linaloandaliwa kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz).Katikati ni Taji Liundi na Ruyembe.
SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA
BIDHAA MBALIMBALI
-
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali
yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi
kwa vitend...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment