Timu ya mashabiki wa timu ya Manchester United ya uingereza ambao wameibuka kidedea na kuwa mabingwa katika Tamasha la mabingwa wa Mwendelezo wa Msimu Dhahabu na Serengeti Soccer Bonanza Mkoani Tanga, wakishangilia na kuinua kombe lao juu baada ya kushinda katika mchezo dhidi yao na timu ya mashabiki wa Barcelona mkoani humo na hatimaye timu hiyo ikamalizia hasira zake kwa wapinzani wao hao Barcelona kwa kuwabamiza kwa mikwaju ya penati tatu kwa moja baada ya kutoka suluhu katika dakika za 90 kumalizika bila kufungana kwenye bonanza lililofanyika leo kwenye uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. Meneja mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries mkoani Tanga, Faki Mohamed,(mwenye kofia) akikabidhi kombe kwa Nahodha wa timu ya mashabiki wa Manchester United, Julius Silasi, baada ya timu hiyo kuibamiza Barcelona katika mchezo wa fainali za Mwendelezo wa Msimu Dhahabu na Serengeti Soccer Bonanza. Kulia ni mratibu wa Bonanza hilo, Shafii Dauda (katikati) ni Meneja Mauzo wa Kanda Patrick Kisaka na Peter Ngassa.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
CRDB Al Barakah Sukuk kuwezesha biashara bila riba
-
Dar es Salaam: Benki ya CRDB hivi karibuni ilizindua ‘CRDB Al Barakah
Sukuk,’ hatifungani inayokusanya fedha ili kuwezesha biashara bila riba
nchini na uk...
CRDB Al Barakah Sukuk kuwezesha biashara bila riba
-
Dar es Salaam: Benki ya CRDB hivi karibuni ilizindua ‘CRDB Al Barakah
Sukuk,’ hatifungani inayokusanya fedha ili kuwezesha biashara bila riba
nchini na uk...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment