Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda akiwaonyesha waheshimiwa wabunge Kombe ambalo Ofisi ya Bunge imeshinda katika Maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kushirikisha taasisi mbalimbali za Umma kutoka barani Africa na kufikia kilele wiki iliyopita. Katika Maonyesho hayo Ofisi ya Bunge imekuwa mshindi wa Pili katika nafasi ya banda bora kwa utoaji bora wa huduma hususani katika kuelezea Kazi za Bunge, Muundo wake, Mamlaka ya Bunge nk. Kushoto ni Kaimu Katibu wa Bunge, John Joel. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
HATIFUNGANI YA iTRUST YAVUNJA REKODI YA MAFANIKIO KULIKO HATIFUNGANI ZOTE
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA.
Nicodemus Mkama amesema mafanikio ya asilimia 760.78, yameifanya
Hatifungani ya...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment