Baadhi ya Warembo waliofanikiwa kutinga katika fainali ya kumo bora ya shindano la kuwania Duka la Vipodozi linalojulikana kama 'Kimwana Twanga Pepeta', wakipozi kwa furaa wakiwa na keki yao wakati wa hafla fupi ya kupongezwa iliyoandaliwa na mratibu ama mwandaaji wa shindano hilo, Maimartha wa Jesse, iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Fainali hiyo inatarajia kufanyika hivi karibuni jijini. Picha na Mdau
SERIKALI YATANGAZA VIJANA ZAIDI YA 5,000 KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UANAGENZI
NCHINI
-
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano)
imetangaza rasmi orodha ya vijana *5,746* waliochaguliwa kujiunga na
mafunzo ya uanage...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment