Baadhi ya Warembo waliofanikiwa kutinga katika fainali ya kumo bora ya shindano la kuwania Duka la Vipodozi linalojulikana kama 'Kimwana Twanga Pepeta', wakipozi kwa furaa wakiwa na keki yao wakati wa hafla fupi ya kupongezwa iliyoandaliwa na mratibu ama mwandaaji wa shindano hilo, Maimartha wa Jesse, iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Fainali hiyo inatarajia kufanyika hivi karibuni jijini. Picha na Mdau
HATIFUNGANI YA iTRUST YAVUNJA REKODI YA MAFANIKIO KULIKO HATIFUNGANI ZOTE
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA.
Nicodemus Mkama amesema mafanikio ya asilimia 760.78, yameifanya
Hatifungani y...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment