Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Chiku Abwao, akimuuguza mama yake mzazi, Tatu Abdallahman (79) ambaye amerejeshwa hospitali na kutibiwa nyumbani kwake kijiji cha Gangilonga mjini Iringa mgonjwa huyo anasumbuliwa na matatizo ya mshtuko wa moyo na kupelekea kupooza mguu wa kushoto na mkono. Mbunge huyo Chiku Abwao ameshindwa kuhudhuria Vikao vya bajeti ya Serikali vianavyoendelea mjini Dodoma kwa siku kadhaa sasa kutokana na kumuuguza mama yake mzazi.
SERIKALI YATOA TAMKO KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA SEKTA BINAFSI
-
-Yataka Waajiri Sekta Binafsi kuzingatia viwango vilivyowekwa
Na: OWM (KAM) – Dodoma
Serikali imetoa tamko kuhusu amri ya kima cha chini cha Mshahara kw...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment