Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Chiku Abwao, akimuuguza mama yake mzazi, Tatu Abdallahman (79) ambaye amerejeshwa hospitali na kutibiwa nyumbani kwake kijiji cha Gangilonga mjini Iringa mgonjwa huyo anasumbuliwa na matatizo ya mshtuko wa moyo na kupelekea kupooza mguu wa kushoto na mkono. Mbunge huyo Chiku Abwao ameshindwa kuhudhuria Vikao vya bajeti ya Serikali vianavyoendelea mjini Dodoma kwa siku kadhaa sasa kutokana na kumuuguza mama yake mzazi.
CRDB Yasisitiza Afya na Usalama Kazini OSHA 2026
-
*Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu
akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wakala wa Usalama na Afya
Mah...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment