Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Chiku Abwao, akimuuguza mama yake mzazi, Tatu Abdallahman (79) ambaye amerejeshwa hospitali na kutibiwa nyumbani kwake kijiji cha Gangilonga mjini Iringa mgonjwa huyo anasumbuliwa na matatizo ya mshtuko wa moyo na kupelekea kupooza mguu wa kushoto na mkono. Mbunge huyo Chiku Abwao ameshindwa kuhudhuria Vikao vya bajeti ya Serikali vianavyoendelea mjini Dodoma kwa siku kadhaa sasa kutokana na kumuuguza mama yake mzazi.
EQUITY BANK YAUNGA MKONO MAENDELEO YA BANDARI YA FUMBA NA UCHUMI WA ZANZIBAR
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Zanzibar. Equity Group, kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji
Zanzibar (ZIPA), imeongoza ujumbe wa viongozi na wadau kutoka...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment