Washiriki wa shindano la Miss Utalii wilaya ya Kyela wakiwa katika picha ya pamoja kwenye fukwe za ziwa Nyasa eneo la Mwamunyange’s Beach, wakati wakiwa katika mazoezi ya maandalizi ya shindano lao linalotarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii. Shindano hilo limeandaliwa na Kampuni ya Asmini Entertainment.
MAMA MARIAM MWINYI ATEMBELEA SHAMBA LA NGANO LA MLEIHA NA KITUO CHA URITHI
WA KIHISTORIA SHARJAH
-
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa
Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam H. Mwinyi, leo tarehe
16 Janua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment