Washiriki wa shindano la Miss Utalii wilaya ya Kyela wakiwa katika picha ya pamoja kwenye fukwe za ziwa Nyasa eneo la Mwamunyange’s Beach, wakati wakiwa katika mazoezi ya maandalizi ya shindano lao linalotarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii. Shindano hilo limeandaliwa na Kampuni ya Asmini Entertainment.
IMANI YA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA UONGOZI WA RAIS SAMIA IMEJIDHIHIRISHA
KUPITIA UFADHILI WA DOLA BILIONI 1.277 KUENDELEZA UJENZI WA SGR.
-
Aprili 28, 2026, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini
mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya
takribani dola...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment