Washiriki wa shindano la Miss Utalii wilaya ya Kyela wakiwa katika picha ya pamoja kwenye fukwe za ziwa Nyasa eneo la Mwamunyange’s Beach, wakati wakiwa katika mazoezi ya maandalizi ya shindano lao linalotarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii. Shindano hilo limeandaliwa na Kampuni ya Asmini Entertainment.
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment