Vodacom Miss Morogoro 2011, Asha Saleh, akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) na watatu Sharifa Issa, wakiwa na furaha tele baada ya kutangazwa washindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kuwashirikisha jumla ya warembo 15 katika kinyang'anyiro hicho. Picha na Blog ya Jamii.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov,
amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili 28 hadi
30, 20...
12 minutes ago

No comments:
Post a Comment