Vodacom Miss Morogoro 2011, Asha Saleh, akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) na watatu Sharifa Issa, wakiwa na furaha tele baada ya kutangazwa washindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kuwashirikisha jumla ya warembo 15 katika kinyang'anyiro hicho. Picha na Blog ya Jamii.
MKURUGENZI MKUU WA HALOTEL TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA HALOTEL KATIKA
MAONESHO YA SABASABA 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bw. Bui Van Thang, leo ametembelea
banda la Halotel katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es
Salaam ...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment