Vodacom Miss Morogoro 2011, Asha Saleh, akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) na watatu Sharifa Issa, wakiwa na furaha tele baada ya kutangazwa washindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kuwashirikisha jumla ya warembo 15 katika kinyang'anyiro hicho. Picha na Blog ya Jamii.
KIBAHA FDC YAFANYA MAHAFALI YA 53, YAIBUKA KINARA WA MAFUNZO YA UJUZI
-
Na Mwandishi Wetu,Kibaha
CHUO cha Maendeleo ya Wananchi Kibaha (FDC Kibaha) kimesema kinajvunia
kuendelea kukuza ujuzi wa kazi kwa vijana pamoja na...
44 minutes ago

No comments:
Post a Comment