Vodacom Miss Morogoro 2011, Asha Saleh, akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) na watatu Sharifa Issa, wakiwa na furaha tele baada ya kutangazwa washindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo na kuwashirikisha jumla ya warembo 15 katika kinyang'anyiro hicho. Picha na Blog ya Jamii.
SERIKALI YAMWAGA TRILIONI 10 UJENZI WA BANDARI: MBAMBA BAY YAFIKIA ASILIMIA
47
-
Serikali ya Awamu ya Sita imeweka rekodi kwa kuwekeza zaidi ya shilingi
trilioni 10.08 katika utekelezaji wa miradi 22 ya ujenzi, upanuzi, na
maboresh...
43 minutes ago

No comments:
Post a Comment