Bondia Bingwa wa UBO a nayetetea Mkanda wa wake, Mbwana Matula (kushoto)akitambulishwa rasmi kuhusu pambano lake na Francis Miyeyusho (kulia) baada ya kusaini mkataba wa pambano lao linalotarajia kufanyika Octoba 30 mwaka huu katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Dar World Links Ltd, ambao ni waratibu wa pambano hilo, Mohamed Bawazir.
MZEE EDWIN MTEI AAGWA ARUSHA, SERIKALI KUENZI MCHANGO WAKE KITAIFA
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada ya
kumuaga aliyekuw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment