Bondia Bingwa wa UBO a nayetetea Mkanda wa wake, Mbwana Matula (kushoto)akitambulishwa rasmi kuhusu pambano lake na Francis Miyeyusho (kulia) baada ya kusaini mkataba wa pambano lao linalotarajia kufanyika Octoba 30 mwaka huu katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Dar World Links Ltd, ambao ni waratibu wa pambano hilo, Mohamed Bawazir.
TANESCO Yatoa Wito kwa Wananchi Kulinda Miundombinu ya Umeme wa Gridi ya
Taifa
-
Msimamizi wa Msongo wa Kilovoti 220 kwa mikoa ya Njombe na Ruvuma Mhandis
Liberatus Juma, , amewataka wananchi kutofanya shughuli za kibinadamu
karibu na m...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment