Bondia Bingwa wa UBO a nayetetea Mkanda wa wake, Mbwana Matula (kushoto)akitambulishwa rasmi kuhusu pambano lake na Francis Miyeyusho (kulia) baada ya kusaini mkataba wa pambano lao linalotarajia kufanyika Octoba 30 mwaka huu katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Dar World Links Ltd, ambao ni waratibu wa pambano hilo, Mohamed Bawazir.
IAA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA ILI KUENDELEA KUZALISHA WATAALAM
MAHIRI
-
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amesema IAA
itaendelea kuimarisha miundombinu na mazingira ya kujif...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment