Bondia Bingwa wa UBO a nayetetea Mkanda wa wake, Mbwana Matula (kushoto)akitambulishwa rasmi kuhusu pambano lake na Francis Miyeyusho (kulia) baada ya kusaini mkataba wa pambano lao linalotarajia kufanyika Octoba 30 mwaka huu katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Dar World Links Ltd, ambao ni waratibu wa pambano hilo, Mohamed Bawazir.
JUBILEE HEALTH INSURANCE YAPELEKA ELIMU YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI
SEKONDARI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUBILEE Health Insurance imetoa elimu kuhusu afya ya akili kwa wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mzizima jijini Dar es Salaam len...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment