Dada zake Bwana Harusi Mtarajiwa ‘Twins’ Fatuma na Rehema Ng’anzi nao walikuwepo kushow love kwa kaka yao Bwana Harusi Mtarajiwa Pharmacist Salum Ng’anzi wakati wa hafla ya ‘Ndundu Party’ iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo cha Manesi Bombo jijini Tanga mwishoni mwa wiki.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment