Dada zake Bwana Harusi Mtarajiwa ‘Twins’ Fatuma na Rehema Ng’anzi nao walikuwepo kushow love kwa kaka yao Bwana Harusi Mtarajiwa Pharmacist Salum Ng’anzi wakati wa hafla ya ‘Ndundu Party’ iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo cha Manesi Bombo jijini Tanga mwishoni mwa wiki.
DET YAFANYA MKUTANO WA BIASHARA YA UTALII DAR ES salaam
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
IDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila
mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, u...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment