Huu ndiyo uliokuwa Uwanja wa timu ya Garatasaray inayoshiriki ligi za Ulaya, ukiwa umevunjwa tayari kwa eneo hili kujengwa majengo mengine ambayo yatatumika kwa shughuli nyingine za kijamii nchini Uturuki katika jiji la Istanbul.
'WACHEZAJI WA GHANA' WAISAIDIA UHOLANZI KUICHAPA SWEDEN 5-1 KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Uholanzi imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Sweden katika
mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa NRG,
Houston, Te...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment