Habari za Punde

*BASI LA SABCO LAPATA AJALI IRINGA

 Basi la kampuni ya Sabco linalofanya safari zake Mbeya-Dar, lililokuwa likitoka Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, kuja jijini Dar es Salaam limepata ajali eneo la Tanangozi wilaya ya Iringa vijijini baada ya tairi la basi hilo kupasuka. 
Imeelezwa kuwa katika ajali hiyo abiria kadhaa wamejeruhiwa.
Mmoja wa abiri aliyekuwa akisafiri na Basi hilo, akijaribu kutafuta mawasiliano ya simu ili kutoa taarifa kwa ndugu na jamaa baada ya ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.