Wafanyabiashara wa nyama katika mji wa Ludewa mkoani Iringa, wakisafirisha nyama kutoka machinjio ya Ibani Ludewa kwenda katika eneo lao la kufanyia biashara mjini Ludewa. Nyama hii ndiyo hasa inayoelekea kutundikwa katika Bucha tayari kwa kuuzwa kwa wateja japo hali halisi ya usafilishaji wa bidhaa hii si ya usalama huku ikiwa wazi, Mtu ni Afya je hapa afya ipo?? Hii ni hatari kwa watumiaji.
MTATIFIKOLO AHIMIZA AMANI NA MAENDELEO KUPITIA SABASABA ISMANI
-
* Na Mwandishi WetuIRINGA – Mbunge wa Jimbo la Ismani, Mhe. Emmanuela
Mtatifikolo, amezindua rasmi maonesho na sherehe za Sabasaba zinazofanyika
...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment