Wafanyabiashara wa nyama katika mji wa Ludewa mkoani Iringa, wakisafirisha nyama kutoka machinjio ya Ibani Ludewa kwenda katika eneo lao la kufanyia biashara mjini Ludewa. Nyama hii ndiyo hasa inayoelekea kutundikwa katika Bucha tayari kwa kuuzwa kwa wateja japo hali halisi ya usafilishaji wa bidhaa hii si ya usalama huku ikiwa wazi, Mtu ni Afya je hapa afya ipo?? Hii ni hatari kwa watumiaji.
KADA CCM ENOCK KOOLA ACHUKUA FOMU CCM KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
-
Na Mwandishi Wetu
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Enock Koola, ambaye ni msomi wa masuala
ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, amechukua fomu ya kugombea ...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment