Wafanyabiashara wa nyama katika mji wa Ludewa mkoani Iringa, wakisafirisha nyama kutoka machinjio ya Ibani Ludewa kwenda katika eneo lao la kufanyia biashara mjini Ludewa. Nyama hii ndiyo hasa inayoelekea kutundikwa katika Bucha tayari kwa kuuzwa kwa wateja japo hali halisi ya usafilishaji wa bidhaa hii si ya usalama huku ikiwa wazi, Mtu ni Afya je hapa afya ipo?? Hii ni hatari kwa watumiaji.
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment