Wafanyabiashara wa nyama katika mji wa Ludewa mkoani Iringa, wakisafirisha nyama kutoka machinjio ya Ibani Ludewa kwenda katika eneo lao la kufanyia biashara mjini Ludewa. Nyama hii ndiyo hasa inayoelekea kutundikwa katika Bucha tayari kwa kuuzwa kwa wateja japo hali halisi ya usafilishaji wa bidhaa hii si ya usalama huku ikiwa wazi, Mtu ni Afya je hapa afya ipo?? Hii ni hatari kwa watumiaji.
SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na
Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment