Wananchi wakiangalia gari aina ya Toyota Pick up T 954 AFU lilivyoharibika baada ya kugongwa na lori la mizigo aina Fuso yenye T 279 ACL, na kusababisha kifo cha aliyekuwa diwani wa kata ya Hai Mjini mwaka 2005 hadi 2010, Ombaeli Lema, na mkewe Ruth Oronu, ilyotokea kata ya Mose Wilayani Hai
NBAA YASHIRIKI MAONESHO YA 50 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA SABASABA 2026
-
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki
Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 50 yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Sabasab...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment