Habari za Punde

MOTO WATEKETEZA SOKO DOGO LA FOREST MAGHOLOFANI JIJINI MBEYA USIKU WA KUAMKIA LEO

Moto ulioanza kuwaka majira ya saa tisa usiku umeteketeza soko dogo la Forest lililopo Forest ya zamani karibu na Chuo cha Mzumbe na Chuo Kikuu huria Jijini Mbeya. 
Moto huo umeteketeza baadhi ya vibanda vya biashara baada ya kushindikana kwa juhudi za  Zimamoto waliofika eneo hilo dakika 20 baada ya kuanza kwa moto huo na kufanikiwa kudhibiti moto huo ambao umesababisha hasara kubwa.
Baadhi ya vibanda na bidhaa zilizoteketea kwa moto huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.