Habari za Punde

*MWENYEKITI WA WAMA MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA UJUMBE WA G E CORPORATE KUTOKA MAREKANI

  Mama salma Kikwete, amabye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi WAMA,  akizungumza na Ujumbe kutoka Marekani  pamoja na ungozi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii,baada ya mazungumzo rasmi wakati alipokutana na ujumbe huo leo jijini Dar Es Salaam.  Picha na Mwnakombo Jumaa-MAELEZO
  Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya WAMA,  Zakhia Mehgji (kulia) akibadilishana mawazo na  Mkurugenzi wa Global Programs, healthymogination kutoka Marekani,  Janeen  Uzzeli,  kabla ya kukutana  na Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mama Salma Kikwete  (hayupo pichani) na kuzungumzia jinsi taasisi ya E G  itakavyosaidia kutoa vifaa vya  tiba vya kuweza kusaidia kupunguza vifo vya  kinamama na watoto nchini.
Picha ya pamoja baada ya Mwenyekiti  wa Taasisi ya WAMA na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kumaliza mazungumzo na ujumbe kutoka Marekani  pamoja na ungozi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.