Baadhi ya Makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa Kibaha Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kusubiri kuhudhuria kozi ya makocha iliyotarajia kuanza kesho. Hata hivyo kozi hiyo iliota mbawa baada ya mkufunzi aliyeteuliwa na chama cha ngumi cha dunia (AIBA) kupata dharura na kutofika kuendesha kozi hiyo iliyoandaliwa na kamati ya Olimpic (TOC) na kuwafanya makocha hao kubaki njia panda bila kujua hatma yao baada ya kufika Pwani bila kupewa stahiki zao walizoaihidiwa katika barua ikiwamo usafiri wa kwenda na kurudi pamoja na chakula ambavyo hawajapatiwa na kujitafutia usafiri wa kurejea makwaoPicha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Prof. Binamungu Azindua Mafunzo ya Akili Mnemba kwa Sekta ya Usafirishaji
-
Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Dar es Salaam kinaendesha semina ya siku tatu
inayohusu uvumbuzi katika matumizi ya akili mnemba kwenye sekta ya
usafirishaji n...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment